HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, May 6, 2019

KATIBU WA BUNGE ATEMBELEWA NA MUWAKILISHI UNDP

  Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai akimsikiliza Kaimu Muwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Natalie Bovely alipomtembelea ofisini kwake Jijini Dodoma.
  Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai akimsikiliza Kaimu Muwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Natalie Bovely alipomtembelea ofisini kwake Jijini Dodoma. Mgeni huyo aliambatana na Mshauri Mkuu wa Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo (LSP), Ndugu Takawira Musavengana na Mratibu wa mradi huo Ndugu Mary Lasway.
Katibu wa Bunge, Stephen Kagaigai akipokea zawadi kutoka kwa Kaimu Muwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Natalie Bovely alipomtembelea ofisini kwake Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad