HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 1, 2019

IKULU MABINGWA WA NETBALL KOMBE LA MEI MOSI KWA MARA YA TATU MFULULIZO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi Kombe la Ubingwa wa Netball Nahodha wa timu ya Ofisi ya Rais Ikulu Sophia Komba wakati wa Sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya Leo Jumatano Mei 1, 2019. Timu hiyo imetwaa kombe hilo kwa mara ya tatu mfululizo PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad