HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, April 12, 2019

ZOEZI LA UCHIMBAJI WA VISIMA WAANZA KATA YA NAMIUGO WILAYANI TUNDURU

 Wakazi wa Kijiji na Kata ya Namiungo Wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma hivi karibuni wakishughudia kuanza kwa zoezi la uchimbaji wa visima vya maji kijijini hapo kutoka kwa shirika lisilo la kiserikali la Safe Water for Life and Diginity (SWLD) kutoka nchini Marekani.
Zoezi la uchimbaji wa visima vya maji likiendelea katika Kijiji na Kata ya Namiungo Wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma kutoka kwa shirika lisilo la kiserikali la Safe Water for Life and Diginity (SWLD) kutoka nchini Marekani wengine ni wakazi wa kijiji hicho hivi karibuni wakishuhudia zoezi hilo.

Mkazi wa Kijiji na Kata ya Namiungo Wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma Rehema Mohamedi hivi karibuni akizungumzia changamoto ya maji inayowakabili wakazi hao baada ya waandishi wa habari kutembelea kijijii hapo hivi karibuni. (FATNA MWINYIMKUU)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad