HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, April 12, 2019

WAZIRI KANGI LUGOLA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKZI NDANI YA JESHI LA POLISI

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola akiwa pamoja na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro wakiingia katika ukumbi wa maafisa wa Polisi Oysterbay leo Jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa mkutano mkuu wa Baraza la wafanyakazi ndani ya Jeshi la Polisi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola (KUSHOTO) akiwa pamoja na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (KATIKATI) na Mwenyekiti wa TUGHE makao Makuu ya Polisi, Dominic Nyoni wakiimba wimbo wa “Solidarity Forever” katika ukumbi wa maafisa wa Polisi Oysterbay leo Jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa mkutano mkuu wa Baraza la wafanyakazi ndani ya Jeshi la Polisi. Picha na Jeshi la Polisi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad