HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, April 10, 2019

Makamu wa Rais afungua Warsha ya 24 ya Utafiti (REPOA)

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na baadhi ya Viongozi wa Taasisi ya Utafiti ya REPOA, wakati alipowasili kwenye ufunguzi wa Warsha ya 24 ya Utafiti  (REPOA) inayofanyika leo Aprili 10, 2019 jijini Dar es Salaam.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akifungua Warsha ya 24 ya Utafiti wa masuala mbalimbali iliyoandaliwa na Taasisi ya Utafiti wa masuala ya Umaskini (REPOA) Warsha hiyo imefunguliwa leo April 10,2019 jijini Dar es Salaam.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi na washiriki wakati wa warsha ya 24 ya Utafiti iliyoandaliwa na Taasisi yaUtafiti wa Masuala ya Umaskini (REPOA) jijini Dar es Salaam leo April 10,2019.(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
 Baadhi ya washiriki wa Warsha ya 24 ya Utafiti wa masuala mbalimbali, wakifuatilia kwa makini Hotuba ya Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan alipokuwa akifungua Warsha ya 24 ya Utafiti wa masuala mbalimbali iliyoandaliwa na Taasisi ya Utafiti wa masuala ya Umaskini (REPOA) Warsha hiyo imefunguliwa leo jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri wakati wa Warsha ya 24 ya Utafiti iliyoandaliwa na Taasisi yaUtafiti wa Masuala ya Umaskini (REPOA) jijini Dar Es Salaam leo April 10,2019.(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad