HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, March 25, 2019

WAZIRI MKUU ASHUHUDIA USHINDI WA TAIFA STARS DHIDI YA YA UGANDA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishangilia bao la tatu la Taifa Stars katika mechi ya kufuzu kuingia katika michuano ya mataifa ya Afrika iliyochezwa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, Machi 24, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishangilia baada ya mwamuzi kupuliza kipenga cha kumaliza mechi kati Taifa Stars na Timu ya Taifa ya Uganda kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, Machi 24, 2019. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda. Taifa Stars ilishinda 3-0. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipongezana na Rais wa TFF, Wallace Karia baada ya mwamuzi kupuliza kipenga cha kumaliza mechi kati Taifa Stars na Timu ya Taifa ya Uganda kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es salam, Machi 24, 2019. Taifa Stars ilishinda 3-0. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad