HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, March 30, 2019

Waziri Kangi Lugola afungua Kongamano la Usalama Barabarani

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola akioneshwa Askari wa Usalama Barabarani Ibrahim Samwix  namna wanavyofanya ukaguzi katika vyombo mbambali vya usafiri wakati wa Kongamano la usalama barabarani lililofanyika jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola akizungumza na waandishi habari katika kungomano la usalama barabarani lililofanyika jijini Dar es Salaam.
 Mkaguzi wa Kituo cha Ukaguzi Cha Usalama Barabarani cha Mabasi ya Mikoani na Nchi Jirani Ibrahim Samwix akizungumza mbiinu mbalimbali wanazozitumia katika ukaguzi vyombo vya usafiri katika kongamano la usalama barabarani lililofanyika jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola akitoa maelekezo kwa askari wa usalama barabarani katika kongamano la usalama barabarani lililofanyika jijini Dara es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola akitoa maelekezo askari wa usalama Barabarani Ibarahimu Samwix wakati wa kongamano la usalama barabarani lililofanyika jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad