HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, March 19, 2019

SPIKA JOB NDUGAI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MKUU WA MKOA WA DODOMA

 Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Bilinith Mahenge alipomtembelea leo tarehe 19 Machi, 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Katikati ni Katibu wa Spika, Said Yakubu na kulia ni Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma, Kessy Maduka
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Bilinith Mahenge (katikati) alipomtembelea leo tarehe 19 Machi, 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma, Kessy Maduka
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (katikati) akifurahi jambo na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Bilinith Mahenge (kushoto) na Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma, Kessy Maduka nje ya Ofisi ya Bunge leo tarehe 19 Machi, 2019 Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (katikati) akifurahi jambo na Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma, Kessy Maduka (kulia) nje ya Ofisi ya Bunge leo tarehe 19 Machi, 2019 Jijini Dodoma. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Bilinith Mahenge
Spika wa Bunge, Job Ndugai (katikati) akiagana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Bilinith Mahenge (kushoto) nje ya Ofisi ya Bunge leo tarehe 19 Machi, 2019 Jijini Dodoma. Kulia ni Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma, Kessy Maduka

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad