HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, March 29, 2019

KATIBU WA BUNGE AKUTANA NA WABUNGE WA PAP

 Katibu wa Bunge Stephen Kagaigai akimsikiliza Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika (PAP)  Stephen Massele aliyemtembelea Ofisi kwake Bungeni Mjini Dodoma.
Katibu wa Bunge Stephen Kagaigai akimsikiliza Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika (PAP) Stephen Massele aliyemtembelea Ofisi kwake Bungeni Mjini Dodoma.  Massele aliongozana na Rais wa Umoja wa Vijana wa Bunge la Afrika Mboni Mhita  pamoja na Mjumbe wa Bunge la Afrika David Silinde. 

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad