Binti wa miaka 24, RADHIA SOLOMONI Mkazi wa Mtaa wa chemuchemu, magomeni mapipa Jijini Dar es salaam ambae amejifungua Watoto wanne, anaomba msaada kutoka kwa wadau mbalimbali kumsaidia mahitaji muhimu ya watoto kutokana na hali yake ya maisha kuwa ngumu na kushindwa kumudu mahitaji ya watoto hao, atakaeguswa awasiliane nae kwa namba 0682604202.
Sunday, March 10, 2019
BINTI HUYU ANAOMBA MSAADA WA HALI NA MALI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment