HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, February 18, 2019

Waziri Dkt. Mwakyembe Akutana na Kufanya Mazungumzo na Balozi wa Hispania Nchini Tanzania

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Harrison Mwakyembe (kushoto) akisalimiana na Balozi wa Hispania nchini Tanzania Francisca Pedros wakati alipomtembelea Waziri Mwakyembe katika ofisi ndogo ya wizara hiyo iliyoko jijini Dar es salaam na kuzungumza masuala mbalimbali ya ushirikiano baina ya Hispania na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mazungumzo hayo yamefanyika leo 18 Februari 2019.
 Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe (kulia) akimuonesha Balozi wa Hispania nchini Tanzania Francisca Pedros maendeleo ya ukarabati wa uwanja wa Taifa kuelekea mashindano ya AFCON chini ya miaka 17 wakati Balozi huyo alipomtembelea Waziri Mwakyembe katika ofisi ndogo ya wizara hiyo iliyoko jijini Dar es salaam na kuzungumza masuala mbalimbali ya ushirikiano baina ya Hispania na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mazungumzo hayo yamefanyika leo 18 Februari 2019.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Hispania nchini Tanzania Francisca Pedros wakati alipomtembelea Waziri Mwakyembe katika ofisi ndogo ya wizara hiyo iliyoko jijini Dar es salaam na kuzungumza masuala mbalimbali ya ushirikiano baina ya Hispania na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mazungumzo hayo yamefanyika leo 18 Februari 2019.
Picha na WHUSM – Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad