Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akihutubia wasanii wa fani mbali mbali waliohudhuria Kongamano Kuhusu
Tatizo la Dawa za Kulevya kwa Wasanii lililoandaliwa na Mamlaka ya
Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya pamoja na Wizara ya Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo leo februari 13, 2019 lililofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais).
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akiongoza viongozi wa meza kuu na wasanii kusimama kwa dakika moja kama
ishara ya kumkumbuka msanii wa hiphop Tanzania Golden Jacob Mbunda
aliyefariki asubuhi ya leo kabla ya kuanza kuhutubia Kongamano Kuhusu
Tatizo la Dawa za Kulevya kwa Wasanii lililoandaliwa na Mamlaka ya
Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya pamoja na Wizara ya Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo leo februari 13, 2019 lililofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia kwa umakini Sanaa ya maigizo iliyokuwa ikionyeshwa na wasanii kutoka Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TASUBA) waliokuwa wakionyesha madhara ya dawa ya kulevya wakati wa Kongamano Kuhusu Tatizo la Dawa za Kulevya kwa Wasanii lililoandaliwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya pamoja na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo leo februari 13, 2019 .Kongamano hilo limefanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Heshima kwa Godzilla; Wasanii wa Filamu na Muziki wakiwa wamesimama kwa dakika moja kama ishara ya kumkumbuka msanii
wa hiphop Tanzania Golden Jacob Mbunda aliyefariki asubuhi ya leo kabla
ya kuanza kuhutubia Kongamano Kuhusu Tatizo la Dawa za Kulevya kwa
Wasanii lililoandaliwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za
Kulevya pamoja na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo leo
februari 13, 2019 lililofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment