HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, January 30, 2019

WAZIRI WA MADINI AFANYA MAZUNGUMZO NA MWENYEKITI WA TEITI

Waziri wa Madini Doto Biteko, Januari 29, 2019, alikutana na Mwenyekiti wa Taasisi ya Uwazi na Uwajibikaji katika Rasilimali za Madini, Mafuta na Gesi asilia (TEITI), Ludovick Utouh, ofisini kwake Jijini Dodoma. Lengo likiwa ni kujadili masuala mbalimbali yanayohusiana na utekelezaji wa majukumu ya TEITI nchini.
Mkutano ukiendelea
Waziri wa Madini Doto Biteko akiagana na Mwenyekiti wa Taasisi ya Uwazi na Uwajibikaji katika Rasilimali za Madini, Mafuta na Gesi asilia (TEITI), Ludovick Utouh alipofika ofisini kwake Jijini Dodoma. Lengo likiwa ni kujadili masuala mbalimbali yanayohusiana na utekelezaji wa majukumu ya TEITI nchini.
Waziri wa Madini Doto Biteko(wa pili kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Taasisi ya Uwazi na Uwajibikaji katika Rasilimali za Madini, Mafuta na Gesi asilia (TEITI), Ludovick Utouh(wa pili kushoto)  alipofika ofisini kwake Jijini Dodoma. Lengo likiwa ni kujadili masuala mbalimbali yanayohusiana na utekelezaji wa majukumu ya TEITI nchini. Wa kwanza kushoto ni Naibu waziri wa Madini, Staslaus Nyongo 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad