Wafanyakazi wa kampuni ya Vodacom Tanzania wakiwazawadia wateja wa mtandao huo kutoka Moshi Mjini Tuzo Points pamoja na zawadi zinginezo. Wateja wa Vodacom hujipatia Tuzo Pointi pale wanaponunua salio au kufanya miamala kupitia M-Pesa. Pointi hizo zinaweza kubadilishwa kuwa fedha, salio au bando. Katika msimu huu wa sikukuu, Vodacom Tanzania inawazawadia wateja wao pointi za Tuzo zenye thamani ya shillingi Bilioni moja.
Tuesday, January 1, 2019

VODACOM wagawa Tuzo Points Moshi mjini
Tags
# BIASHARA
# HABARI ZA BIASHARA
HABARI ZA BIASHARA
Labels:
BIASHARA,
HABARI ZA BIASHARA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment