HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, January 31, 2019

VODACOM TANZANIA WAZINDUA KITUO CHA KUTOA HUDUMA MAKAMBAKO

 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Makambako Bw Paul Malala, akizungumza na wananchi waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa kituo cha kutoa huduma cha Vodacom Tanzania jijini Makambako, Njombe jana. (Kushoto) ni Mteja wa Vodacom Emmanuel Gadau, Meneja Mauzo wa Njombe, Humphrey Mutabiirwa na Msimamizi wa Maduka Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Yasinta Hussein. Vodacom Tanzania imelenga kuongeza upatikanaji wa huduma ili kuwezesha maendeleo ya jamii.
Msimamizi wa Duka, Mussa Ndazi, akielezea juu ya huduma mbali mbali zitakazo tolewa katikaa kituo kipya cha Vodacom Tanzania kilichozinduliwa jijini Makambako, Njombe jana. Kushoto ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Makambako Bw Paul Malala. Vodacom Tanzania imelenga kusogeza huduma zake ili kuwezesha maendeleo ya jamii.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad