HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, January 20, 2019

TIMU 128 ZA WAENDESHA BODABODA ZAPAMBANA KATIKA MICHUANO YA USALAMA BARABARANI(KAMANDA CUP)

 Mrakibu wa jeshi la Polisi na Mkuu wa Kitengo cha elimu Tanzania, Abel Swai. (Kushoto) akifafanua jambo   kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Kiraia ya Haki elimu Tanzania,   Dkt. John Kalage , (katikati) na Meneja Uhusiana na Mawasikiano wa GSM Tanzania, Matina Nkurlu wakati wa hafla ya uzinduzi mashindano ya Usalama barabarani ‘Kamanda Cup’  katika viwanja vya Tanganyika Pakers  jijini Dar es Salaam.Jumla ya timu 128 za waendesha bodaboda wa mkoa wa Dar es Salaam zinashiriki , Lengo la michuoano hiyo ni kutoa elimu kwa madereva wa vyombo vyamoto,  mashindano hayo yameandaloiwa na jeshi la Polisi kwa udhaminiwa na kamapuni ya GSM Tanzania.
Meneja Uhusiana na Mawasikiano wa GSM Tanzania, Matina Nkurlu  akiongea wakati wa hafla ya uzinduzi mashindano ya Usalama barabarani ‘Kamanda Cup’  katika viwanja vya Tanganyika Pakers  jijini Dar es Salaam.Jumla ya timu 128 za waendesha bodaboda wa mkoa wa Dar es Salaam zinashiriki , Lengo la michuoano hiyo ni kutoa elimu kwa madereva wa vyombo vya moto,  mashindano hayo.
  Mrakibu wa jeshi la Polisi na Mkuu wa Kitengo cha elimu Tanzania, Abel Swai. (Kushoto)  akikabidhiwa  na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Kiraia ya Haki elimu Tanzania,   Dkt. John Kalage boksi lenye  vipeperushi vyenye ujumbe wa usalama barabarabani   wakati wa hafla ya uzinduzi wa  mashindano ya Usalama barabarani ‘Kamanda Cup’  uliofanyika kwenye  viwanja vya Tanganyika Pakers  jijini Dar es Salaam.Jumla ya timu 128 za waendesha bodaboda wa mkoa wa Dar es Salaam zinashiriki , Lengo la michuano hiyo ni kutoa elimu kwa madereva wa vyombo vyamoto,  mashindano hayo.
 Kamishina Msaidizi wa Polisi na Mkuu wa Operesheni Kikosi cha Usalma barabarani Makao Makuu ,Abdi Issango, ( Kulia )  akiongozwa na Mrakibu wa jeshi la Polisi na Mkuu wa Kitengo cha elimu Tanzania, Abel Swai (wapili kulia) kwenda kuzindua michuoano ya  Usalama barabarani” Kamanda Cup” inayofanyika  kwenye  viwanja vya Tanganyika Pakers  jijini Dar es Salaam.Jumla ya timu 128 za waendesha bodaboda wa mkoa wa Dar es Salaam zinashiriki , Lengo la michuoano hiyo ni kutoa elimu kwa madereva wa vyombo vyamoto,  mashindano hayo.
  Kamishina Msaidizi wa Polisi na Mkuu wa Operesheni Kikosi cha Usalama barabarani Makao Makuu ,Abdi Issango, ( Kulia ) akisalimiana na  Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa GSM ,Matina Nkurlu.  Wakati wa uzinduzi wa michuoano ya  Usalama barabarani” Kamanda Cup” inayofanyika  kwenye  viwanja vya Tanganyika Pakers  jijini Dar es Salaam.Jumla ya timu 128 za waendesha bodaboda wa mkoa wa Dar es Salaam zinashiriki , Lengo la michuoano hiyo ni kutoa elimu kwa madereva wa vyombo vyamoto,  mashindano hayo yameandaloiwa na jeshi la Polisi kwa udhaminiwa na kamapuni ya GSM Tanzania.Kushoto ni Mrakibu wa jeshi la Polisi na Mkuu wa Kitengo cha elimu Tanzania, Abel Swai.





No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad