HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, January 14, 2019

RAIS WA DKT. SHEIN AKIWAFARIJI FAMILIA YA MUASISI WA CCM ZANZIBAR BI.JOHARI YUSSUF AKIDA

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, atowa mkono wa pole kwa Wanafamilia ya Marehemu Bi. Johari Yussuf Akida, aliyefariki wiki iliopita, katikati Mtoto wa Marehemu Bi. Shawana Buheti,anayefuata Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, walipofika katika makaazi yao Mwanakwerekwe kutowa mkono wa pole 13/1/2019.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimfariji Mtoto wa Marehemu Bi. Johari Yussuf Akida, muasisi wa CCM.katikati Bi.Shawana Buheti na kushoto Mke wa Rais wa Zanzibar. Mama Mwanamwema Shein, walipofika nyumbani kwake Mwanakwerekwe Unguja kutowa mkono wa pole 13/1/2019.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimsalimia na kumpa mkono wa pole Ndugu wa Marehemu Bi. Johari Yussuf Akida,alipofika nyumbani kwao Mwanakwerekwe  na Mkewe Mama Mwanamwema Shein,kutowa mkono wa pole 13/1/2019.(Picha na Ikulu)  

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad