BOTI
 ya Kisasa ya Uokozi na Uzamiaji ya Kikosi cha KMKM Zanzibar 
imezinduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi 
Mhe. Dk Ali Mohamed Shein,.leo katika bandari ya Mkoani Kisiwani Pemba, 
wakati wa Uzinduzi wa Mradi wa Vituo Vya Uokozi vya KMKM.(Picha na 
Ikulu)
RAIS
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed 
Shein, akizindua Boti ya Mradi wa Vituo vya Uokozi na Uzamiaji vya 
Kikiso cha KMKM Zanzibar,uzinduzi huo umefanyika katika, bandari ya 
Mkoani Pemba leo,2-1-2019.kushoto Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za
 Mikoa na Vikosi Maalum. Mhe Haji Omar Kheri na kulia Mkuu wa KMKM 
Commodere Hassan Mussa Mzee.(Picha na Ikulu)
RAIS
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed 
Shein, akimsikiliza CDR.Hussein Ali Makame, akitowa maelezo kwa Rais 
wakati akitembelea Boti hiyo baada ya kuizindua leo katika Bandari ya 
Mkoani Kisiwani Pemba ikiwa ni shamrashamra za Sherehe za Miaka 55 ya 
Mapinduzi ya Zanzibar.
RAIS
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed 
Shein, akiwa katika Boti ya KMKM ya Uokozi baada ya kuizindua akiwa na 
Mkuu wa KMKM Commodore Hassan Mussa Mzee, (Picha na Ikulu) NO 
5665///RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. 
Ali Mohamed Shein, akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe Hemed 
Suleiman wakiondoka katika eneo la Bandari ya Mkoa baada ya Uzinduzi wa 
Boto ya KMKM ya Uokozi na Uzamiaji.
RAIS
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed 
Shein, akizindua Kituo cha Mradi wa Uokozi na Uzamiaji cha KMKM 
Zanzibar, wakati wa shamrashamra za Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
RAIS
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Ali Mohamed 
Shein, akimsikiliza CDR. Hussein Ali Makame. akitowa maelezo ya kimoja 
ya vifaa vya Uokozi baada yya kukifungua Kituo cha KMKM Cha Mradi wa 
Uokozi na Uzamiaji katika Bandari ya Mkoani Pemba.(Picha na Ikulu).
JENGO
 Jipya la Kituo cha KMKM la Mradi wa Vituo vya Uokozi na Uzamiaji 
lilioko katika Bandari ya Mkoani Zanzibar.(Picha na Ikulu)
 

 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment