HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, January 23, 2019

RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA VIONGOZI WA DINI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea wakati alipokutana na viongozi wa dini Ikulu jijini Dar es salaam leo Jumatano Januari 23, 2019.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi wakishiriki katika dua iliyoongozwa na Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Zubeiry bin Ally kwa niaba ya Viongozi wa madhehebu yote ya Kiislamu Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi wakishiriki dua iliyoongozwa na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es salaam  Muadhama Polycalp Kardinali Pengo kwa niaba ya viongozi wa madhehebu yote ya Kikristo Tanzania   
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi na Waziri wa mambo ya Ndani ya Nchi Mhe Kangi Lugola katika picha ya pamoja na Viongozi wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) Ikulu jijini Dar es salaam leo Jumatano Januari 23, 2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi na Waziri wa mambo ya Ndani ya Nchi Mhe Kangi Lugola katika picha ya pamoja na Viongozi Kiislamu  Ikulu jijini Dar es salaam leo Jumatano Januari 23, 2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi na Waziri wa mambo ya Ndani ya Nchi Mhe Kangi Lugola katika picha ya pamoja na Viongozi wa Taasisi mbalimbali za Kiislamu  Ikulu jijini Dar es salaam leo Jumatano Januari 23, 2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi na Waziri wa mambo ya Ndani ya Nchi Mhe Kangi Lugola katika picha ya pamoja ba Viongozi  wa makanisa mbalimbali  Ikulu jijini Dar es salaam leo Jumatano Januari 23, 2019.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi na Waziri wa mambo ya Ndani ya Nchi Mhe Kangi Lugola katika picha ya pamoja na watangazaji wa vipindi vya dini  Ikulu jijini Dar es salaam leo Jumatano Januari 23, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi na Waziri wa mambo ya Ndani ya Nchi Mhe Kangi Lugola katika picha ya pamoja  na Mawaziri na Manaibu Waziri waliohudhuria mkutano huo  Ikulu jijini Dar es salaam leo Jumatano Januari 23, 2019.

 PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad