HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, January 10, 2019

NAIBU WAZIRI KANYASU AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UINGEREZA NCHINI TANZANIA

 Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu (kulia) akizungumza na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Sarah Cooke  (katikati) mapema leo akiwa  na ujumbe wake,  wakati alipomtembelea ofisini kwake Mpingo House  jijini Dar es Salaam.
Balozi wa Uingereza nchini Tanzania,Sarah Cooke  (katikati) akizungumza na  Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu(kulia) kuhusiana  na mikakati mbalimbali ya kukabailiana na tatizo la ujangili wa tembo nchini mapema leo  ofisini kwake Mpingo House  jijini Dar es Salaam
 Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Sarah Cooke (kulia) akizungumza na  Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu(katikati)   mapema leo mara baada  ya kufanya  mazungumzo ofisini kwake Mpingo House  jijini Dar es Salaam
 Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu(katikati)  akizungumza na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Sarah Cooke (kulia) kabla ya kuagana naye wakati alipotembelewa ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
(PICHA ZOTE NA LUSUNGU HELELA-MNRT)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad