HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, January 27, 2019

MKUU WA OPERESHENI MAALUM ZA JESHI LA POLISI NCHINI ATETA NA KIKOSI CHA KUPAMBANA NA UHALIFU MKOA WA RUVUMA

 Mkuu wa Operesheni Maalum za Jeshi la Polisi Nchini Naibu Kamishna DCP Liberatus Sabas, akizungumza na kikosi Maalum cha kupambana na uhalifu katika viwanja vya Kikosi cha kutuliza Ghasia mkoani Ruvuma, baada ya kuwasili katika ziara yake ya kikazi. (Picha na Jeshi la Polisi) 
 Mkuu wa Operesheni Maalum za Jeshi la Polisi Nchini Naibu Kamishna DCP Liberatus Sabas katikati kulia kwake ni Kaimu Kamanda wa Mkoa wa Ruvuma Kamishna Msaidizi ACP Pili O. Mande na kushoto kwake ni Mkuu wa Kikosi cha kutuliza Ghasia Mkoa wa Ruvuma ACP Omar K. Omari wakiwa katika picha ya pamoja na kikosi maalum cha kupamban na uhalifu mkoani humo. 
Mkuu wa Operesheni Maalum za Jeshi la Polisi Nchini Naibu Kamishna DCP Liberatus Sabas, akishiliki mazoezi ya pamoja na kikosi maalum cha kupamba na uhalifu Mkoa wa Ruvuma baada ya kuwasili katika ziara yake ya siku moja mkoani humo. 
(Picha na Jeshi la Polisi) 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad