HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, January 21, 2019

Makabidhiano ya ofisi Wizara ya Ujenzi yafana

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Eng. Joseph Nyamhanga akimpongeza Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano (sekta ya ujenzi), Arch. Elius Mwakalinga mara baada ya kumkabidhi ofisi kufuatia kuhamishiwa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI wengine ni wajumbe wa Menejimenti ya sekta ya ujenzi.
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Eng. Joseph Nyamhanga akisisitiza jambo kwa Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano (sekta ya ujenzi), Arch. Elius Mwakalinga katika hafla ya kumkabidhi ofisi wengine ni wajumbe wa Menejimenti ya sekta ya ujenzi.
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano (sekta ya ujenzi), Arch. Elius Mwakalinga katikati akiwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Eng. Joseph Nyamhanga katika picha ya pamoja na wajumbe wa Menejimenti ya sekta ya ujenzi katika hafla ya makabidhiano ya ofisi mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad