HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, January 24, 2019

MADAKTARI BINGWA WA JKCI WAFANYA UPASUAJI KWA WATOTO WALIOZALIWA NA MATATIZO YA MOYO

Madaktari bingwa wa upasuaji wa kufungua kifua kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimfanyia upasuaji mtoto ambaye mishipa yake ya damu safi na damu chafu imekinzana kwa kushirikiana na madaktari bingwa wa upasuaji wa moyo kutoka Shirika la Healing Little Heart la nchini Uingereza wakati wa Camp maalum ya upasuaji wa kufungua kifua kwa watoto waliozaliwa na matatizo ya moyo leo katika Taasisi hiyo. Jumla ya watoto nane wenye matatizo ya moyo ya kuzaliwa nayo wamefanyiwa upasuaji wa moyo wa kufungua kifua katika kambi hiyo na hali zao zinaendelea vizuri.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad