HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, January 17, 2019

KAMATI YAPOKEA MAONI YA WADAU KUHUSU MUSWADA WA SHERIA YA MAREKEBISHO YA SHERIA YA VYAMA VYA SIASA

 Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria, Mohamed Mchengelwa akizungumza katika Kikao cha kukusanya maoni kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa wa mwaka 2018 kilichofanyika katika Ukumbi wa Msekwa, kulia kwake ni Makamu Mwennyekiti wa Kamati hiyo, Najma Giga.
Wadau mbalimbali wakiwa wamejitokeza katika Kikao cha Kamati ya Bunge Katiba na Sheria kwa ajili ya kutoa maoni yao kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa wa mwaka 2018. Kikao hicho kimefanyika katika Ukumbi wa Msekwa kikiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mohamed Mchengelwa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad