HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, December 22, 2018

WAZIRI MKUU AKUTANA NA MAWAZIRI, MAKATIBU WAKUU NA WATENDAJI WA WIZARA TATU

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika Kikao cha Kazi alichokiitisha Ofisini kwake Magogoni jijini Dar es salaam, Desemba 22, 2018. Kikao hicho kiliwahusisha Mawaziri, Makatibu Wakuu na Watendaji kutoka Wizara za Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Wizara ya Mifugo na Uvuvi na Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji pamoja na baadhi ya Taasisi zilizo chini ya Wizara hizo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad