HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, December 11, 2018

SPIKA WA BUNGE ATEMBELEWA NA WAGENI KUTOKA NCHINI NAMIBIA

 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na mgeni wake kutoka Nchini Namibia Ndugu Desmond Amunyela aliyemtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma.mgeni huyo alieleza kusudio la Namibia la kujenga Kituo cha Kimataifa Wilayani Kongwa  cha Kumbukumbu ya Kupigania uhuru wa Nchi za Kusini mwa Afrika.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akipokea zawadi kutoka kwa mgeni wake kutoka Nchini Namibia Ndugu Desmond Amunyela aliyemtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma.mgeni huyo alieleza kusudio la Namibia la kujenga Kituo cha Kimataifa Wilayani Kongwa  cha Kumbukumbu ya Kupigania uhuru wa Nchi za Kusini mwa Afrika.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akionyeshwa mchoro wa Kituo cha Kimataifa kitakachojengwa Wilayani Kongwa  cha Kumbukumbu ya Kupigania uhuru wa Nchi za Kusini mwa Afrika kutoka kwa Ndugu Desmond Amunyela aliyemtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma aliyembatana na Ndugu Iyaloo ya Nangolo wote wakitokea Nchini Namibia.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akiwaonyesha Ukumbi wa Bunge la Tanzania waeni wake kutoka Nchini Namibia Ndugu Desmond Amunyela na Ndugu  Iyaloo ya Nangolo  mara baada ya kumtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma.wageni hao walieleza kusudio la Namibia la kujenga Kituo cha Kimataifa Wilayani Kongwa  cha Kumbukumbu ya Kupigania uhuru wa Nchi za Kusini mwa Afrika.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad