Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Ngombo wilaya ya Malinyi mkoa wa Morogoro wakiwa katika Fibre wakivuka mto Mnyera, ambapo nauli ya kuvuka ni nishilingi 500 na pikipiki,shilingi 3000.(Picha na Emmanuel Massaka,MMG)
Wananchi wa jiji cha Ngombo wilaya ya Malinyi mkoa wa Morogoro wakipakiza pikipiki katika Fibra ilikuvuka mto Mnyera.ambapo pikipii moja wanalipa shilingi 3000.
Safari ya kuvuka mto Mnyera ukiendelea.
No comments:
Post a Comment