HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, December 7, 2018

MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO APOKEA MSAADA WA MBOLEA TOKA GSM TANZANIA

 Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Onesmo Buswelu(kushoto)ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Siha,akipokea msaada wa mifuko 70 ya Mbolea aina ya Urea kwa ajili ya vikundi vya kina mama wanaojishughulisha na kilimo mkoani humo,Msaada huo umetolewa na GSM Tanzania na kukabidhiwa na Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa GSM Group,Matina Nkurlu(kulia)anaeshuhudia katikati ni Afisa mauzo wa kampuni hiyo kanda ya kaskazini Nurdin Mangenya 
 Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Onesmo Buswelu(kulia)ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Siha,akihesabu mifuko ya 70 ya Mbolea aina ya Urea mara baada ya kukabidhiwa kama msaada  kwa ajili ya vikundi vya kina mama wanaojishughulisha na kilimo mkoani humo,Msaada huo umetolewa na GSM Tanzania na kukabidhiwa na Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa GSM Group,Matina Nkurlu(kushoto)
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Onesmo Buswelu(kulia)ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Siha,akihesabu mifuko ya 70 ya Mbolea aina ya Urea mara baada ya kukabidhiwa kama msaada  kwa ajili ya vikundi vya kina mama wanaojishughulisha na kilimo mkoani humo,Msaada huo umetolewa na GSM Tanzania na kukabidhiwa na Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa GSM Group,Matina Nkurlu(katikati)anaeshuhudia kushoto ni Afisa mauzo wa kampuni hiyo kanda ya kaskazini,Nurdin Mangenya 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad