Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar Balozi Amina Salum Ali akizungumza na Waandhishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali kuhusiana na Maadhimisho ya kutimia miaka 50 toka kuundwa kwa Shirika la ZSTC 1968 mkutano uliofanyika katika ukumbi wa ZSTC Migombani mjini Zanzibar.
Muandishi wa Habari wa Bahari FM Tabia Makame akiuliza maswali katika mkutano na Waziri wa Biashara na Viwanda Balozi Amina Salum Ali kuhusiana na Maadhimisho ya kutimia miaka 50 toka kuundwa kwa Shirika la ZSTC 1968 mkutano uliofanyika katika ukumbi wa ZSTC Migombani mjini Zanzibar.
Mwandishi wa Habari wa ITV Farouk Kariym akiuliza maswali katika mkutano na Waziri wa Biashara na Viwanda Balozi Amina Salum Ali kuhusiana na Maadhimisho ya kutimia miaka 50 toka kuundwa kwa Shirika la ZSTC 1968 mkutano uliofanyika katika ukumbi wa ZSTC Migombani mjini Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.
No comments:
Post a Comment