Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu akikata utepe kuashiria uwashaji wa umeme katika kijiji cha Ikongosi wilayani Mufindi.
Naibu Waziri wa Nishati Subira Mgalu amewaasa wananchi wa Mfindi kutunza miundombinu ya umeme ili kujipatia maendeleo.Mgalu ameyasema hayo wakati alipofanya ziara ya utekelezaji wa miradi ya upelekezaji umeme vijijini wilalyani Mufindi.
Amesema kuwa serikali ya awamu ya awamu ya Tano nia kuhakikisha wananchi wote wanatumia umeme kwani matumizi ya vibali yamepitwa na wakati katika ukelekea uchumi wa viwanda.
Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu akiwasha taa kweye ofisi ya kijiji katika kijiji cha wilayani Mufindi
Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu akiangalia eneo la uzalishaji umeme wa kampuni ya Mwenga katika mto Mwenga wilayani Mufindi
No comments:
Post a Comment