HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, November 29, 2018

IDARA YA MAKUMBUSHO NA MAMBO YA KALE ZANZIBAR IMAWAGA WAFANYAKAZI WALIOMALIZA MUDA WA KUFANYA KAZI

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale  anaeshughulikia masuala ya Habari Dkt. Saleh Yussuf Mnemo akizungumza katika khafla ya kuwaaga wafanyakazi hao iliofanyika  ukumbi wa Palace Museum Forodhani Mjini Zanzibar.
 Mkurugenzi  Idara ya Makumbusho na Mambo ya Kale Zanzibar Salum Kitwana Sururu akitoa shukurani zake kwa Wafanyakazi hao (hawapo pichani) na kuwatakia kheri katika maisha yao.
 Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar  anaeshughulikia masuala ya Habari  Dkt. Saleh Yussuf Mnemo akimkabidhi cheti maalum Bi. Jokha Ali Simba mmoja ya wafanyakazi waliostahafu Idara ya Makumbusho ya Mnazimmoja Mjini Zanzibar.
 Katibu Mkuu Chama cha Wafanyakazi Zanzibar (ZAPSU) Mwatumu Khamis Othman akimkabidhi saa ya ukutani mzee  Mussa Vuai Pakia  katika khafla ya kuwaaga wafanyakazi hao iliofanyika  ukumbi wa Palace Museum Forodhani Mjini Zanzibar.
 Baadhi ya Wafanyakazi wa  Idara ya Makumbusho na Mambo ya Kale waliohudhuria katika ghafla ya kuwaaga wafanyakazi wenzao waliomaliza muda wa kufanya kazi katika Idara hiyo.
 Wafanyakazi walioangwa baada ya kumaliza utimishi wao wa kazi katika Idara ya Makumbusho na Mambo ya Kale Zanzibar.
Picha na Abdalla Omar Habari  -  Maelezo Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad