HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, October 4, 2018

TTCL YAMUONGEZA MSANII MAN FONGO TAMASHA LA RUDI NYUMBANI KUMENOGA


Mkuu wa Biashara Mkoa wa Dar es Salaam wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL Corporation), Bi. Mary Kinabo (kushoto) akisaini mkataba leo Dar es Salaam na msanii wa muziki aina ya singeli, Man Fongo (kulia) ili msanii huyo kushiriki katika kampeni kubwa ya Rudi Nyumbani Kumenoga inayoendelea mikoa yote ya Tanzania. Anayeshuhudia kulia ni mwanasheriaa wa TTCL, .Wasanii wengine wanaaonogesha kampeni hiyo ni pamoja na Asley Isihaka maarufu kama Dogo Asley na Shilole ‘Shishi Baby’.
Mkuu wa Biashara Mkoa wa Dar es Salaam wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL Corporation), Bi. Mary Kinabo (kushoto) akibadilishana mkataba na msanii wa muziki aina ya singeli, Man Fongo (kulia) mara baada ya kuusaaini ili msanii huyo kushiriki katika kampeni kubwa ya Rudi Nyumbani Kumenoga inayoendelea mikoa yote ya Tanzania. Anayeshuhudia kulia ni mwanasheriaa wa TTCL. Wasanii wengine wanaaonogesha kampeni hiyo ni pamoja na Asley Isihaka maarufu kama Dogo Asley na Shilole ‘Shishi Baby’.
Mkuu wa Biashara Mkoa wa Dar es Salaam wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL Corporation), Bi. Mary Kinabo (kushoto) akimpongeza msanii wa muziki aina ya singeli, Man Fongo (kulia) mara baada ya kuusaini mkataba ili msanii huyo kushiriki katika kampeni kubwa ya Rudi Nyumbani Kumenoga inayoendelea mikoa yote ya Tanzania. Anayeshuhudia kulia ni mwanasheriaa wa TTCL.
Mkuu wa Biashara Mkoa wa Dar es Salaam wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL Corporation), Bi. Mary Kinabo (kushoto) pamoja na msanii wa muziki aina ya singeli, Man Fongo (kulia) wakionesha mkataba mara baada ya msanii huyo kushiriki katika kampeni kubwa ya Rudi Nyumbani Kumenoga inayoendelea mikoa yote ya Tanzania. Anayeshuhudia kulia ni mwanasheriaa wa TTCL.
Sanii wa muziki aina ya singeli, Man Fongo (kulia) akizungumza mara baada ya kusaini ili kushiriki katika kampeni kubwa ya Rudi Nyumbani Kumenoga inayoendelea mikoa yote ya Tanzania.
Mkuu wa Biashara Mkoa wa Dar es Salaam wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL Corporation), Bi. Mary Kinabo na Man Fongo wakizungumza.
Afisa Masoko Mkuu, wa Shirika la mawasiliano Tanzania (TTCL), Laibu Leornad (kushoto) akizungumza katika hafla hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad