HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, October 24, 2018

MSIMU WA FENESI

 Mafenesi yakiwa juu ya  mti
Mafenesi yakiwa juu ya  mti.
  Mafenesi yakiwa  kando ya Barabara ya Kilwa kwaajili ya kusafirishwa katika  kijiji cha  Kimanzi chana leo Wilaya Mkuranga mkoa wa Pwani.
 Mfanyabiashara wa  mafenesi katika kituo cha mabasi Mbagala jijini Dar es Salaam   akiwauzia wateja wake baada ya msimu wa matunda hayo kuanza ambapo fenesi moja huuzwa kati ya sh 1500 hadi sh 4000 kutokana na ukubwa wake.
(Picha na Emmanuel Massaka wa MMG)
Fenesi Sokoni.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad