HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, October 10, 2018

MKUU WA MAJESHI ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Reli Tanzania(TRC) Masanja Kadogosa akizungumza na waandishi wa habari wakati Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ) Jenerali Venance Mabeyo alipotembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa itakayotumia umeme inayoendelea kujengwa.




Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ) Jenerali Venance Mabeyo akimsikiliza maelezo kutoka kwa Wafanyakazi wa kampuni iliyojenga reli ya mwendokasi ya Yapi Markez jijini Dar es Salaam kabla ya kuanza ziara ya kutembelea mradi wa ujenzi wa reli hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Reli Tanzania(TRC) Masanja Kadogosa akitoa maelezo juu ya ujenzi wa mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa jijini Dar es Salaam kabla ya kuanza ziara ya kukagua mradi huo kutokea kituo cha Ilala mpaka kituo cha Soga.
Meneja Mradi mradi wa reli ya kisasa ya standard gauge, Injinia Maizo Mgedzi akizungumza wakati  Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ) Jenerali Venance Mabeyo  alipotembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa ya Standard gauge kutokea kituo cha Ilala hadi kituo sha Soga.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ) Jenerali Venance Mabeyo  akimsikiliza  maneja mradi wa reli ya kisasa ya standard george Injini Maizo kabla ya kuanza kukagua mradi huo.
 Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ) Jenerali Venance Mabeyo akiwa na baadhi ya wanajeshi wakitemelea kiwanda ambacho kinatengeneza mataaluma ambayo yatatumika katika ujenzi wa reli ya kisasa ya  Standard Gauge. 
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ) Jenerali Venance Mabeyo  pamoja na baadhi ya wanajeshi wakiangalia jinsi mataaluma yanavyotengenezwa katika kituo cha Soga.
Mataaluma yakitengenezwa kiwandani
Mitambo  ya kiwanda cha Soga kinachotengeneza mataaluma.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ) Jenerali Venance Mabeyo  akizungumza na waandishi wa habari  katika kituo cha soga mara baada ya kutembelea na kukagua jinsi mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa standard george.
Baadhi ya mataaluma kushoto yakiwa tayari kwa kutandikwa reli ya kisasa ya standard gaurge.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Reli Tanzania(TRC) Masanja Kadogosa  akitoa maelezo kwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ) Jenerali Venance  Mabeyo wakati alipoembelea ujenzi wa reli ya kisasa ya standarge gaurge.
Sehemu ya reli ambayo imekamilika.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad