HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, October 11, 2018

MAKATIBU KAMATI WAANDAA TAARIFA YA USIMAMIZI WA SDGs KATIKA BUNGE

Mwenyekiti wa Kikao cha cha kuandaa Taarifa kuhusu Usimamizi wa Utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) katika Bunge Ndg. Athuman Hussen akiongoza kikao hicho  kilichowahusisha Makatibu Kamati kutoka Ofisi ya Bunge kilichofanyika leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
 Makatibu Kamati wa Ofisi ya Bunge wakiwa katika kikao cha kuandaa Taarifa kuhusu Usimamizi wa Utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) katika Bunge.Kikao hicho kimefanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad