HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, September 13, 2018

YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

 Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage akiwasilisha taarifa ya hali ya Sukari nchini wakati wa mkutano wa 12 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kikao cha nane leo Jijini Dodoma.
 Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Profesa Makame Mbarawa akiteta jambo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi, Dkt. Agustine Mahiga (kulia) wakati wa mkutano wa 12 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kikao cha nane leo Jijini Dodoma.
 Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi Ajira na Vijana, Anthony Mavunde akijibu swali kwa niaba ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (hayupo pichani) wakati wa mkutano wa 12 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kikao cha nane leo Jijini Dodoma.
  Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akijibu swali wakati wa mkutano wa 12 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kikao cha nane leo Jijini Dodoma.
 Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Sheria Mtemi Andrew Chenge akiwasilisha Hoja ya Kamati kuhusu maboresho ya sheria mbalimbali wakati wa mkutano wa 12 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kikao cha nane leo Jijini Dodoma.
 Mbunge wa Kuteuliwa Mhe. Salma Kikwete akiuliza swali la nyongeza wakati wa mkutano wa 12 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kikao cha nane leo Jijini Dodoma.
 Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Kamishna Diwani Athmani akitambulishwa wakati wa mkutano wa 12 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kikao cha nane leo Jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenyeulemavu, Jenista Mhagama akiteta jambo na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dkt. Adelardus Kilangi pamoja na Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo wakati wa mkutano wa 12 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kikao cha nane leo Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad