HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, September 15, 2018

WAJUMBE, WADAU MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI WAPATIWA SEMINA YA MABADILIKO YA SERA BUNGENI JIJINI DODOMA

 Katibu Mkuu Baraza la Mashirika yasiyo ya kiserikali, Ndg. Ismail Suleiman akizungumza na Wajumbe waliofika katika semina ya Mabadiliko ya Sera ya Mashirika yasiyo ya kiserikali iliyofanyika katika ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
 Msajili wa Baraza la Mashirika yasiyo ya kiserikali, Ndg. Marcel Katemba (wa pili kulia) akizungumza na Wajumbe (hawapo kwenye picha) waliofika katika semina ya Mabadiliko ya Sera ya Mashirika yasiyo ya kiserikali iliyofanyika katika ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Katibu Mkuu Baraza la Mashirika yasiyo ya kiserikali, Ndg. Ismail Suleiman, kushoto ni Mwenyekiti anaeendesha semina hiyo Ndg. Justa Mwatoka Kiwohede na wa pili kulia ni Mwenyekiti wa Baraza la Mashirika yasiyo ya kiserikali, Ndg. Nicholaus Zacharia
 Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Wakili Harold Sungusia akitoa maada katika semina ya Mabadiliko ya Sera ya Mashirika yasiyo ya kiserikali iliyofanyika katika ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Katika semina hiyo iliwahusisha wadau na wajumbe mbali mbali kutoka Mashirika yasiyo ya kiserikali Tanzania
Mratibu wa Novelty Youth Centre Tanga ambae pia ni Mjumbe, Ndg. Jasson Eliakimu akizungumza jambo wakati wa semina ya Mabadiliko ya Sera ya Mashirika yasiyo ya kiserikali iliyofanyika katika ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.

  Baadhi ya wajumbe wakifuatilia semina ya Mabadiliko ya Sera ya Mashirika yasiyo ya kiserikali iliyofanyika katika ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad