HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, September 11, 2018

WAGOMBEA 21 WACHUKUA FOMU ZA KUWANIA NAFASI MBALIMBALI KLABU YA SIMBA


Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii
Kamati ya uchaguzi ya Simba imetangaza majina ya wagobea waliochukua fomu kuwania nafasi mbalimbali katika klabu hiyo uliokamilika Septemba 10 saa Kumi Jioni kama ilivyokuwa imepangwa.

Akitoa taarifa hiyo kwa niaba ya kamati, Afisa habari wa Simba Haji Manara amesema kuwa Kamati hiyo imetoa taarifa ya jumla ya fomu 21 zimechukuliwa na wagombea mbalimbali, fomu 2 zikizchukuliwa kuwania nafasi ya mwenyekiti wa klabu hiyo, fomu 2 zingine zimeenda kwa wagombea wanaowania nafasi ya wajumbe wanawake na fomu 17 ziliozosalia zmechukuliwa na wagombea wa kiumekwa nafasi ua ujumbe wa bodi.

Majina  ya wagombea hao ni kama yaliyoanishwa hapo chini

Wagombea Simba SC nafasi ya Mwenyekiti 
Mwenyekiti wa Bodi
1. Swedi Nkwabi
2. Mtemi Ramadhani


Wagombea nafasi ya wajumbe wanawake
1.Jasmeen Badou
2.Asha Baraka

Wajumbe wa Bodi 
1. Mwina Kaduguda
2. Iddi Kajuna
3. Said Tulily
4. Hussein Kitta Mlinga 
5. Ally Suru
6. Mohamed Wandi
7. Hamis Mkoma
8. Abdallah Migomba
9. Alfred Eliya
10.Juma Abbas Pinto
11.Abubakar Zebo
12.Seleman Said
13.Dr Zawadi Ally Kadunda
14.Christopher Mwansasu
15.Omar Mazola
16.Patrick Rweyemamu
17.Selemean Omar Seleman

Aidha kamati inapenda kwuakumbusha wagombea hao kuwa zoezi la urudishaji fomu limeanza rasmi leo Septemba 11 hadi Jumamosi Septemba 15 kuanzia saa 3 asubuhi hadi kumi jioni katika ofisi za makao makuu ya Kalbu hiyo Msimbazi Kariakoo na watahitajika kurudisha fomu hizo wao binafsi wakiambatanisha nakala za vyeti vyao vya elimu kama ilivyoanishwa kwenye fomu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad