HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, September 15, 2018

MAANDALIZI UCHAGUZI MDOGO MONDULI YAKAMILIKA WANANCHI WATAKIWA KUJITOKEZA KUPIGA KURA


  Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Monduli, Stephen Ulaya amewataka wananchi wa jimbo hilo kujitokeza kwa wingi kupiga Kura kesho (Jumapili, Septemba 16,2018) ili kumchagua Mbunge wa Jimbo hilo.

Akizungumza na NEC TV wilayani Monduli leo Bw. Stephen Ulaya ameeleza kuwa maandalizi ya kufanikisha kufanyika kwa uchaguzi huo yamekamilika ikiwemo usambazaji wa vifaa vya uchaguzi na Mafunzo kwa Wasimamizi wa Uchaguzi

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad