HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, September 5, 2018

BODI YA USAJIRI YAWAHANDISI WASHEREKEA MIAKA 50 YA KUANZISHWA KWAKE

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi akizungumza na wahandisi na wakandarasi wakati wa hafla ya kusheherekea miaka 50 ya Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB) tangu ianzishwe mwaka 1968.
Kaimu Msajili wa Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB), Mhandisi Patrick Barozi (kulia), akitoa utambulisho kwa wahandisi na wageni waalikwa wakati wa hafla ya kusheherekea miaka 50 ya Bodi hiyo tangu ianzishwe mwaka 1968.
Mwenyekiti wa Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB), Profesa Ninatubu Lema (kulia) akitoa neon la utangulizi kwa mgeni rasmi wakati wa hafla ya kusheherekea miaka 50 ya Bodi hiyo tangu ianzishwe mwaka 1968.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Elias Kwandikwa akimkaribisha mgeni rasmi, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi kuzungumza na wahandisi na wakandarasi wakati wa hafla ya kusheherekea miaka 50 ya Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB) tangu ianzishwe mwaka 1968.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi akimkabidhi tuzo ya heshima Naibu Balozi wa Norway Tanzania Trygve Bendiksby wakati wa hafla ya kusheherekea miaka 50 ya Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB) tangu ianzishwe mwaka 1968.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi (kulia) akiteta jambo na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Elias Kwandikwa wakati wa hafla ya kusheherekea miaka 50 ya Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB) tangu ianzishwe mwaka 1968.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi akimkabidhi tuzo ya heshima Mhandisi Milton Nyerere kwa niaba ya familia ya Hayati Baba wa Taifa Mwl. Julius Nyerere kwa kutambua mchango Baba wa Taifa katika kuanzishwa kwa Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB) wakati wa hafla ya kusheherekea miaka 50 ya Bodi hiyo tangu ianzishwe mwaka 1968.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi (kushoto) akipokea saa toka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB), Profesa Ninatubu Lema (kulia) kwa niaba ya Rais John Magufuli wakati wa hafla ya kusheherekea miaka 50 ya Bodi hiyo tangu ianzishwe mwaka 1968.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi (kulia) akimkabidhi tuzo ya heshima moja ya mjumbe wa kwanza wa Bodi ya Usajili Wahandisi, Mhandisi Anase Shayo wakati wa hafla ya kusheherekea miaka 50 ya Bodi hiyo tangu ianzishwe mwaka 1968.
Baadhi ya Wahandisi wakimsikiliza Mgeni Rasmi Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi (hayupo pichani) wakati wa hafla ya kusheherekea miaka 50 ya Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB) tangu ianzishwe mwaka 1968.
Picha na MAELEZO

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad