HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, July 13, 2018

SPIKA NDUGAI AMJULIA HALI MBUNGE WA CHAANI NYUMBANI KWAKE MJINI UNGUJA

   Spika wa  Bunge Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Mbunge wa Jimbo la Chaani Khamis Yahya Machano (kulia) alipokwenda kumjulia hali nyumbani kwake Unguja Mjini, Zanzibar mapema leo.
Spika wa  BungeJob Ndugai (wa pili kushoto) akizungumza na Mbunge wa Jimbo la Chaani Mheshimiwa Khamis Yahya Machano (kulia) alipokwenda kumjulia hali nyumbani kwake Unguja Mjini, Zanzibar mapema leo. Wa kwanza kushoto  ni Machano Othman Said (Mb). PICHA NA BUNGE

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad