Spika wa  Bunge Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Mbunge wa Jimbo la Chaani Khamis Yahya Machano (kulia) alipokwenda kumjulia hali nyumbani kwake Unguja Mjini, Zanzibar mapema leo.
Spika wa  BungeJob Ndugai (wa pili kushoto) akizungumza na Mbunge wa Jimbo la Chaani Mheshimiwa Khamis Yahya Machano (kulia) alipokwenda kumjulia hali nyumbani kwake Unguja Mjini, Zanzibar mapema leo. Wa kwanza kushoto  ni Machano Othman Said (Mb). PICHA NA BUNGE
 

 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment