HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, July 30, 2018

MAKAMU WA RAIS AHITIMISHA ZIARA YAKE MKOANI MBEYA

 Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiteta jambo na Waziri wa Madini Mhe. Angellah Kairuki wakati wa mkutano wa hadhara katika Uwanja wa Sabasaba wilaya ya Chunya ikiwa ni siku ya mwisho ya ziara ya Makamu wa Rais mkoani Mbeya. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakazi wa Chunya kwenye uwanja wa Sabasaba ikiwa ni siku ya kuhitimisha ziara yake mkoani Mbeya.
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Naibu Waziri wa Kilimo Dkt. Mary Mwanjwelwa mara baada ya kumalizika kwa kikao cha majumuisho ya ziara yake katika Ukumbi wa Mkapa mkoani Mbeya.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mbunge wa Jimbo la Mbarali Mhe. Haroon Pirmohamed katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Songwe muda Mfupi kabla Makamu wa Rais ajarejea Dodoma. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad