HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, June 22, 2018

VIONGOZI WA TIMU ZA NDONDO 2018 WATEMBELEA OFISI ZA BENKI YA DCB LEO JIJINI DAR

 Mkuu wa kitengo cha biashara wa DCB Benki James Ngaluko akizungumza na viongozi wa timu zinazoshiriki Ndondo Cup 2018 walipotembelea Benki hiyo kujifunza huduma mbalimbali za kibenki na kufungua akaunti za timu zao. DCB Benki ndiyo mdhamini wa Ndondo cup 2018.  
 Moja ya waratibu wa mashindano ya Ndondo Cup Yahya Mohamed akizungumza na viongozi wa timu za Ndondo Cup wakati walipotembelea ofisi za benki ya DCB ambaye ni mdhamini wa michuano hiyo kwa mwaka 2018.
Moja ya viongozi wa timu shiriki za michuano ya  Ndondo Cup akizungumza mbele ya  viongozi wa benki ya DCB na waandaaji wa Ndondo Cup  wakati walipotembelea benki hiyo ambao ni wadhamini wa mashindano hayo leo Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad