HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, June 25, 2018

TASWIRA MBALIMBALI ZA WASHABIKI KATIKA MICHUANO YA KOMBE LA DUNIA NCHINI URUSI

 Mwanalibeneke wa Globu ya Jamii na Mtaa kwa Mtaa, Othmna Michuzi akiwa pamoja na baadhi ya mashabiki wa timu ya Mexico na Urusi, wakati wakiwa kwenye treni kuelekea kwenye uwanja wa Spartak, uliopo nje kidogo ya mji wa Moscow, nchini Urusi kunakofanyika michuano ya Kombe la Dunia. 
 Mshabiki wa timu ya Taifa ya Tunisia akiwa nje ya uwanja huo wakati alipofika kuishangilia timu yake ilipokuwa ikikipiga na timu ya Taifa ya Ubelgiji. japo walichezea kichapo cha bao 5-2 lakini shangwe zake zilikuwa hazielezeki.
 Furaha ya ushindi kwa mashabiki wa timu ya Ubelgiji.
 Uwanja huu siku hiyo ulichukua idadi ya washabiki kama inavyosomeka kwenye ule ubao.

















No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad