Mafundi wakikarabati kipande cha barabara ya Kilwa kilichoharibika kutoka na mvua za masika zilizoisha katika kijiji cha Mwalusembe Wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani.
Gari la mizigo likiwa na shehena ya mchanga limeanguka kwenye barabara ya Kilwa katika kijiji cha Mwalusembe mkoani Pwani kwa madai ya kumkwepa muendasha pikipiki.
No comments:
Post a Comment