HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, June 28, 2018

SPIKA NDUGAI APOKEA TUZO YA BALOZI WA AMANI BUNGENI JIJINI DODOMA

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akipewa tuzo ya Balozi wa amani na Mwenyekiti wa Umoja wa Kimataifa wa Wabunge wapenda amani, Dkt. Thomas Walsh katika hafla ya kuzindua tawi la Wabunge wapenda amani iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson  (kushoto) akipewa tuzo ya Balozi wa amani na Mwenyekiti wa Umoja wa Kimataifa wa Wabunge wapenda amani, Dkt. Thomas Walsh katika hafla ya kuzindua tawi la Wabunge wapenda amani iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na Waheshimiwa Wabunge (hawapo kwenye picha) wakati wa hafla ya kuzindua tawi la Wabunge wapenda amani iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa (kushoto), Mwenyekiti wa Umoja wa Kimataifa wa Wabunge wapenda amani, Dkt. Thomas Walsh, Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai na Katibu Mkuu wa Chama cha Wapenda amani Duniani Afrika, Ndg. Adama Doumbia wakifuatilia video inayoelezea mambo mbali mbali yanayohusiana na amani katika tukio lililofanyika leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wakiwa katika hafla ya kuzindua tawi la Wabunge wapenda amani iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Hafla hiyo Ilihudhuriwa na Mgeni rasmi Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa (watatu kushoto), Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (watatu kulia), Mwenyekiti wa Umoja wa Kimataifa wa Wabunge wapenda amani, Dkt. Thomas Walsh (wa pili kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya hafla ya kuzindua tawi la Wabunge wapenda amani iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa (katikati) akisalimiana na Mwenyekiti wa Umoja wa Kimataifa wa Wabunge wapenda amani, Dkt. Thomas Walsh (kushoto) baada ya hafla ya kuzindua tawi la Wabunge wapenda amani iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai

(PICHA NA DEONISIUS SIMBA - OFISI YA BUNGE)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad