HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, June 28, 2018

RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AKUTANA NA UONGOZI WA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali  katika kikao cha siku moja cha Utekelezaji wa Mpango kazi wa Mwaka 2017/2018 sambamba na Mpango kazi wa Mwaka 2018-2019, kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar.
 Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe. Riziki Pembe Juma (katikati) akisoma muhtasari wa  Utekelezaji wa Mpango kazi  wa Wizara hiyo kwa kipindi cha Julai 2017 hadi Juni 2018 katika kikao cha siku moja cha Uongozi kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani)  Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe.Mmanga Mjengo Mjawiri.
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Dkt.Idrisa Muslim Hija (kulia) akifafanua jambo wakati wa  kikao cha siku moja cha Uongozi katika utekelezaji wa Mapngo kazi wa Mwaka 2017-2018 kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) akiwepo na Mshauri wa Rais Ushikiano wa Kimataifa na Uchumi Mhe.Mohamed Ramia Abdiwawa (kushoto).
 Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi na  Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee akichangia pamoja na kutoa maelezo wakati wa  kikao cha siku moja cha Uongozi cha utekelezaji wa Mapngo kazi wa Mwaka 2017-2018 kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe.Riziki Pembe Juma (kushoto).
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati)  akisisitiza jambo wakati wa  kikao cha siku moja cha Uongozi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali katika utekelezaji wa Mapngo kazi wa Mwaka 2017-2018 kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar.
 Wasaidizi wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein wakiwa katika kikao cha siku moja cha Uongozi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali siku moja cha Utekelezaji wa Mpango kazi wa Mwaka 2017/2018 na Mpango kazi wa Mwaka 2018-2019 kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar.
 Baadhi ya Wakurugenzi katika Idara za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali wakimsikiliza  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) katika kikao cha utekelezaji wa Mapngo kazi wa Mwaka 2017-2018 kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar. (Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad