HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, June 20, 2018

MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dkt. Adelardus Kilangi, bungeni  jijini Dodoma Juni 20, 2018.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Joseph Kakunda, bungeni jijini Dodoma Juni 20, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Mvomero  Suleiman Saddiq kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 20, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad