HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, May 11, 2018

YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

 Mwenyekiti wa wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Andrew Chenge  akiongoza kikao cha ishirini na saba cha mkutano wa kumi na Moja leo Jijini Dodoma.
 Mbunge wa Mtera Mhe.Livingstone  Lusinde akiuliza swali wakati wa kikao cha ishirini na saba cha mkutano wa kumi na Moja leo Jijini Dodoma.
 Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe.Japhet Asunga akitolea ufafanuzi hoja mbalimbali za wabunge wakati wa  kikao cha ishirini na saba cha mkutano wa kumi na Moja leo Jijini Dodoma.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge,Kazi,Vijana,Ajira na wenye Ulemavu Mhe.Jenista Mhagama akiteta jambo na Naibu Waziri wa Nishati Mhe.Stanslaus Nyongo ,Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe.Dk Ashatu Kijaji na Naibu Waziri wa Kilimo Mhe.Dkt Mary Mwanjelwa wakati wa  kikao cha ishirini na saba cha mkutano wa kumi na Moja leo Jijini Dodoma.
 Mbunge wa Vunjo Mhe.James Mbatia akifurahia jambo na wabunge wenzie  wakati wa kikao cha ishirini na saba cha mkutano wa kumi na Moja leo Jijini Dodoma.
Mbunge wa Kwimba Mhe.Mansoor Hirani akizungumza jambo na Manaibu Waziri wa TAMISEMI Mhe.Josephat Kandege na Joseph Kakunda wakati wa  kikao cha ishirini na saba cha mkutano wa kumi na Moja leo Jijini Dodoma.
Picha zote na Daudi Manongi,MAELEZO

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad