Balozi wa China Nchini Tanzania Bi. Wang Ke akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) Mhandisi Deusdedit Kakoko mara baada ya kumtembelea ofisini kwake. Balozi Wang amefanya ziara hiyo ya kuja kutoa shukuruni zake kwa Mkurugenzi Mkuu kwa jinsi TPA ilivyohudumia meli yao ya Kichina yenye Hospitali. Pamoja na shukurani hizo, viongozi hao pia walizungumzia maendeleo ya ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo pamoja na jinsi Treni ya TAZARA inavyohudumia mizigo ipitayo bandarini.
Monday, January 15, 2018
MKURUGENZI WA TPA AKUTANA NA BALOZI WA CHINA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment